TANGAZO LA MAFUNZO BURE YA UJUZI WA KIDIJITALI KWA VIJANA (SUA)

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kinawakaribisha vijana wenye umri wa miaka 18-35 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar kushiriki katika mafunzo ya ujuzi wa kidijitali yatakayolenga kuongeza uwezo wa vijana katika ajira na ujasiriamali.

SIFA ZA MUOMBAJI

1. Vijana wenye umri wa miaka 18-35 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar.
2. Wajasiriamali vijana na wamiliki wa biashara ndogo.
3. Awe na uwezo wa kutumia kompyuta mpakato, tablet au simu janja.
4. Kitambulisho halali (ZanID, NIDA au Kitambulisho cha Mpiga Kura).
5. Uthibitisho wa makazi.
6. Majina kamili, jinsia na umri.
7. Taarifa za taasisi/shirika na biashara, pale inapohusika.

MAF UNZO NI BURE!!! Mafunzo haya hayana ada na yanafadhiliwa kupitia Mradi wa HEET (Higher Education for Economic Transformation).


MWISHO WA MAOMBI: 15 Septemba 2026

Omba Mtandaoni: https://shorturl.at/Ij1iL  

Mahali: Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)

Tarehe: 21 - 26 Sept 2026

Muda: Saa 02-10:00 jioni

Ardhi ni Hazina

Share this page