Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo, Prof. Raphael Chibunda, anapenda kuwataarifu kuwa, kutakuwa na ziara ya Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Daniel Chongolo siku ya Jumapili tarehe 5 Februari, 2023 kuanzia saa 3:00 Asubuhi.

Ziara ya Katibu Mkuu wa Ccm

Katika ziara hiyo atatembelea miradi ya maendeleo inayotekelezwa chuoni na baadae kuzungumza na kupata chakula pamoja na wafanyakazi na wanafunzi katika Ukumbi wa Multipurpose uliopo Kampasi ya Edward Moringe,

 

Asante.

 

Share this page