Tanzania Launches a National Digital Platform for Disaster Management
Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu imekipongeza Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kuhakikisha kinafanyakazi pamoja na Serikali na kutumia tafiti na rasilimali zake kunufaisha wananchi katika sekta mbalimbali ikiwemo namna ya kujiandaa kukabiliana na majanga.