Uzinduzi Wa Kumbukizi Ya 18 Ya Hayati EDWARD MORINGE SOKOINE Mei 2023

Katika kukuza soko la nyama hapa nchini Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imesema inadhamira ya kufanya kampeni ya kuchanja mifugo kwa kufuata kalenda ili kuongeza soko la nyama nje ya nchi kutoka tani 12 ya sasa hadi tani 100. Hayo yameelezwa na Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (Mb)  Mjini Morogoro  wakati akifungua maadhimisho ya wiki ya kumbukizi ya 18 ya Hayati Edward Moringe Sokoine yanayo fanyika Kampasi Kuu ya Edward Moringe Sokoine .

A YEESI Lab Student, MR FIKIRI MATATIZO Wins a Pitch Competition at The Sua University-Industry Day

Mr. Fikiri Matatizo, a YEESI Lab and 3rd year BSc. with Education (Physics and IT) student at Sokoine University of Agriculture placed first in a pitch competition that was conducted at the National Carbon Monitoring Centre (NCMC). Mr Fikiri presented his final year project in which he is developing a "Plant Diseases Detection and Monitoring App". This mobile app is using machine vision technology (AI-based) to detect diseases affecting tomato plants. Mr Fikiri is using the YEESI dataset to train the model. The App is based on Flutter technology with its backend using TensorFlow Lite. Mr Fikiri is being advised on this project by the YEESI Lab PI, Dr Kadeghe Fue.