Wahitimu 3,744 wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo watunukiwa vyeti vya kuhitimu elimu ya Chuo Kikuu

Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo Jaji Mstaafu Joseph Sinde Warioba (wa pili waliokaa ) akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho Jaji Mstaafu Mohamed Chande Othman (wa tatu kulia waliokaa) na Makamu Mkuu wa Chuo Prof. Raphael Chibunda (wa kwanza kulia waliokaa) na viongozi mbalimbali na wanataaluma wa chuo hicho.