Shahada ya Kwanza ya Sayansi ya Misitu, Wanyapori na Utalii SUA washiriki zoezi la usafi chuoni

Katika kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama kwa viumbe hai pamoja na jamii, wanafunzi wanaosoma Shahada kutoka Ndaki ya Misitu, Wanyamapori na Utalii ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wameaswa kushiriki katika zoezi la kufanya usafi kwani jambo hilo ni endelevu na litawasaidia katika masomo yao na hata baada ya kuhitimu.

YEESI Lab Student Dickson Massawe Wins Zindi-Indabax Artificial Intelligence Hackathon Challenge 2022

An IndabaX is a locally organized Indaba (i.e. gathering) that helps develop knowledge and capacity in machine learning and artificial intelligence in individual countries across Africa. A deep Learning IndabaX is a locally organized Indaba that helps spread knowledge and builds capacity in machine learning.