SUA researchers win grant on Artificial Intelligence for Agriculture and Food Systems

A team of researchers from Sokoine University of Agriculture, and their colleagues from RECODA and Sahara Ventures have won the research grant on Artificial Intelligence for Agriculture and Food Systems (AI4AFS) Innovation Research Network in Africa with the project titled “Enhancing Farm - scale Crop Yield Predictions using Machine Learning Models for Internet of Agro- Things in Tanzania”.

Kongamano la Tiba Asili SUA

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)  kwa kushirikiana na Wizara ya Afya kimeahidi kufanya kazi bega kwa bega na wadau mbalimbali waliopo katika Mnyororo wa Thamani wa Bidhaa za Tiba Asili kwaajili ya kuibua Bunifu na kupata suluhisho la Kisayansi kuhusu changamoto zilizopo kwenye mnyororo wa thamani wa biashara ya bidhaa za Mimea Dawa nchini.