SUA Yaishukuru Serikali
Mhe. Chande ametoa kauli hiyo Mei 27, 2022 wakati wa Mahafali ya 39 ya Katikati ya mwaka ya Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Nelson Mandela Freedom Square Kampasi ya Solomon Mahlangu Mazimbu, Morogoro.