AD Scientific Index 2022: SUA scientists emerge best in Tanzania

The AD Scientific Index 2022 Version 2 named Prof. Rudovick Kazwala, a Professor of Ecosystems and Veterinary Public Health in the Department of Veterinary Medicine and Public Health under the College of Veterinary Medicine and Biomedical Sciences as the best scientist in Tanzania, out of the 2000 scientists featured. Similarly, last year, Prof. Kazwala made the Sokoine University of Agriculture proud when the AD Scientific Index Report 2021 listed him as the topmost scholar in Tanzania.

Majani ya JUNCAO kuwa suluhisho la malisho ya mifugo

Wafugaji nchini Tanzania wametakiwa kuanza kulima majani aina ya JUNCAO yanayozalishwa katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kutokana na majani hayo kuonekana kuwa na faida nyingi kwa mifugo na uwezo wake wa kukua haraka na kuvumilia ukame na hivyo kupunguza changamoto za malisho wakati wa kiangazi na kumaliza migogogo ya wakulima na Wafugaji.