Jaji Warioba aahidi kusaidia utatuzi wa changamoto za kilimo
Ameyasema hayo wakati wa kikao cha utoaji taarifa ya utekelezaji wa mafanikio ya Chuo kwa kipindi cha miaka mitano 2017 - 2022 kilichofanyika katika ukumbi wa Multipurpose, Kampasi Kuu ya Edward Moringe Sokoine siku ya Alhamisi tarehe 26 Mei, 2022.