TAZAMA:Mdahalo wa kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine-27/5/2021

Shughuli mbalimbali zilifanyika kwenye wiki ya kumbukizi ya hayati Sokoine ikiwemo maonesho ya teknolojia na bunifu mbalimbali, mkutano wa kisayansi pamoja na mdahalo wa kitaifa uliofanyika siku ya tarehe 27/5/2021 ambapo mada zilizojadiliwa zilikuwa zinaendana na kauli mbiu yam waka huu ambayo ni Teknolojia za kilimo Kuzalisha kwa tija na ushindani katika soko la Tanzania kuelekea uchumi wa kati wa juu.

Sokoine Memorial Week 2021: Vice President urges community to follow the example of the late Edward Moringe Sokoine

The Vice President of the United Republic of Tanzania, Hon. Philip Isdori Mpango, has encouraged the community and all stakeholders in Agriculture to continue honoring all the good deeds done and emphasized by the late Edward Moringe Sokoine during his lifetime especially in increasing production and marketing of agricultural products.