TAZAMA:Mdahalo wa kumbukizi ya Hayati Edward Moringe Sokoine-27/5/2021
Shughuli mbalimbali zilifanyika kwenye wiki ya kumbukizi ya hayati Sokoine ikiwemo maonesho ya teknolojia na bunifu mbalimbali, mkutano wa kisayansi pamoja na mdahalo wa kitaifa uliofanyika siku ya tarehe 27/5/2021 ambapo mada zilizojadiliwa zilikuwa zinaendana na kauli mbiu yam waka huu ambayo ni Teknolojia za kilimo Kuzalisha kwa tija na ushindani katika soko la Tanzania kuelekea uchumi wa kati wa juu.