Experts consultation in student centred and Problem based Learning curriculum development process

The consultative meeting was chaired by Prof Mona Lisa Dahms (a retired Professor from Aalborg Centre for Problem Based Learning in Engineering Science and Sustainability under the auspices of UNESCO) and Prof Bente (a Professor from Aalborg Centre for Problem Based Learning in Engineering Scienc

SUA mshindi wa tatu katika taarifa bora za fedha kitaifa

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo, kimefanikiwa kuibuka Mshindi wa tatu katika Tuzo za Umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya mwaka 2020 (Best Presenter Financial Statements for the Year 2020 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na  Mashirika, ambazo hutolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) zilizofanyika siku ya Ijumaa tarehe 3 Disemba, 2021 kwnye Hotel ya APC Bunju Jijini Dar es Salaam.