SUA yapongezwa kwa kutoa elimu ya Kujiajiri kwa Vijana
Pongezi hizo zimetolewa na Mkuu wa Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) Jaji Mstaafu Mhe. Joseph Sinde Warioba Siku ya Jumanne tarehe 26 Oktoba, 2021 wakati akizungumza na Menejimenti na wafanyakazi wa SUA katika ukumbi wa Multpurpose Kampasi ya Edward Moringe.