Ufaransa Kuimarisha Ushirikiano na SUA
Katika kuhakikisha ushirikiano baina Tanzania na Ufaransa unaimarika Balozi wa Ufaransa nchini Tanzania HE Nabil Hajlaoui amefanya ziara katika Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) ili kujua maeneo ya kimkakati ambayo Ufaransa inaweza kushirikiana na Chuo.