Matokeo ya utafiti wa maji yaliyopo chini ya ardhi katika jiji la Dodoma

Matokeo ya Utafiti yanaonyesha kuwa shughuli za kibinadamu zinazofanyika katika maeneo ya dakio la bonde la maji yaliyopo chini ya ardhi la makutupola ambalo ndio chanzo kikuu cha maji cha Jiji la Dodoma zinauwezekano mkubwa wa kuathiri uwepo wa chanzo hicho cha maji endapo jitihada za makusudi hazitachukuliwa kulinda chanzo hicho.