Documentary: Mafanikio ya mradi wa RIPAT SUA

Makala hii inalenga kuonesha utelezaji wa mradi huu kuanzia mwanzo hadi mwisho na mafanikio yake. Mradi huu ulianzishwa mwaka 2014 na Chuo Kikuu cha sokoine cha kilimo kwa kushirikiana na Shirika la RECODA lenye makao yake makuu jijini Arusha wakaanzisha mradi wa Uhakiki wa usambazaji wa teknolojia kupitia mfumo wa Jitihada shirikishi za kuleta mageuzi ya kilimo vijijini RIPAT SUA kwa ufadhili wa TOM KELAR na BLUE MASH Society kutoka Denmark