Wanafunzi waonesha ubunifu wa mavazi mbalimbali

Katika maonesho hayo, wanafunzi wa mwaka wa pili wanaosoma somo la (Cultural Aspects of Clothing) walibuni na kutengeneza mavazi mbalimbali kulingana na makabila na tamaduni za hapa Tanzania. Wanafunzi wa mwaka wa tatu kupitia somo la (Costume Design) walitengeneza mavazi mbalimbali yanayovaliwa kwenye matukio na shughuli mbalimbali kwa kutumia vitu vya gharama nafuu vinavyopatikana katika mazingira yetu (Locally available cheap materials).

SUA researchers win grant on Artificial Intelligence for Agriculture and Food Systems

A team of researchers from Sokoine University of Agriculture, and their colleagues from RECODA and Sahara Ventures have won the research grant on Artificial Intelligence for Agriculture and Food Systems (AI4AFS) Innovation Research Network in Africa with the project titled “Enhancing Farm - scale Crop Yield Predictions using Machine Learning Models for Internet of Agro- Things in Tanzania”.