Kongamano la Tiba Asili SUA

Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA)  kwa kushirikiana na Wizara ya Afya kimeahidi kufanya kazi bega kwa bega na wadau mbalimbali waliopo katika Mnyororo wa Thamani wa Bidhaa za Tiba Asili kwaajili ya kuibua Bunifu na kupata suluhisho la Kisayansi kuhusu changamoto zilizopo kwenye mnyororo wa thamani wa biashara ya bidhaa za Mimea Dawa nchini.

Watch Live: Tanzania Traditional Medicine Scientific Conference - 30th August 2022

The aim of this important day is to promote the important role of the African Traditional medicine in improving the health of Africans. It is two decades now since the adoption and first celebration, this year’s theme is “Two decades of African Traditional Medicine Day: Progress Towards Achieving Universal Health Coverage in Africa”