Tathlitha ya kumi na mbili ya Baraza

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Sokoine Cha Kilimo Prof. Raphael Chibunda amemshukuru Mwenyekiti wa Baraza Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu Mohamed Chande Othman pamoja na wajumbe wote kwa kazi Kubwa na nzuri waliyoifanya na ushirikiano waliouonesha katika kusaidia mafanikio ya Chuo na utekelezaji wa majukumu ya Chuo kwa ufanisi.